How to carefully handle your smartphone
*make sure mfukoni mwako unapoweka simu Hamna coin kuepusha screen ya simu kuwacna scratch
*make sure wakati unatumia simu yako mokono iwe mikavu kwa sababu maji yanaweza pelekea electric shock
*make sure unaifuta screen ya simu yako pibdi inapokuwa chafu kwa kutumia kitambaa kikavu
* ibebe simu yako kwa uangalifu kuepusha kuanguka inaweza pasuka screen
*kumbuka kuweka Glass screen protector kuzuia simu yako kupasuka screen haya kama itaanguka bahati mbaya
*kuweka cover ya simu ni njia mojawapo ya kuikinga simu yako na external contact zinazoweza kuiletea madhara
*set wallpaper nzury kuipa simu yako muonekano mzury
*kumbuka kucharge simu yako Mara tu inapokuwa na charge below 15% na usicharge simu all the way to 100% unaua battery
*Epuka kuweka simu yako maeneo yenye wezi wengi na vibaka.
*kumbuka kuweka security kwene simu nenda SETTING→SECCURITY→MAKE PATTERN
*Kumbuka kuienable android device manager in case imepotea unaweza kuilock au kufuta kila kitu kwenye hiyo simu
*kumbuka google account yako kwenye simu inaumuhimu sana
*epuka kuwapa watoto wachezee simu wanaweza haribu
*usipende kuifungua fungus simu yako.
*usipende kuinstall vitu ambavyo haviko approved unaweza ukaingiza virus kwenye simu
Ahsante kwa Leo tuishie hapo.
Saturday, 24 September 2016
New
HOW TO CARE YOUR SMARTPHONE
About Online Tech
Templatesyard is a blogger resources site is a provider of high quality blogger template with premium looking layout and robust design. The main mission of templatesyard is to provide the best quality blogger templates.
Android Fix
Labels:
Android Fix
Subscribe to:
Post Comments (Atom)

Got yo bro
ReplyDeletepamoja kaka
DeleteUr welcome bro
ReplyDelete